Tunatangaza Biashara @Tsh.30,000 kwa mwaka.
Support: tanzaniaonlinemarket@gmail.com 0677775000
Follow us:
Nunuauza.com tunanunua vitu vya aina mbali mbali kwa bei ya chini ili tuweze kuuza baadae taratibu. Kama unauza shida ya ela ya haraka na unauza kitu chochote wasiliana nasi. Kama hatukiitaji tutakuunganisha na wanunuzi wengine kwa makubaliano utatulipa asilim
NunuaUza.com tuna nunua sarafu za mjerumani na noti za zamani enzi ya mkoloni. Mfano rupia, heller 5, heller 20 na rupia 15 ya Tabora ya mwaka 1916 yenye rangi ya shaba /dhahabu. Usipige Simu. Tuma picha whatsapp usubiri utajibiwa ndani ya SAA 72 yaani siku 3
All copyrights reserved © 2022 - Design & Development by Tanzania Online Market